Saturday, July 26, 2014

Hii ndiyo Afghanistan kabla ya kuutawala wa Taleban ndani ya nchi hiyo.

Kabla ya kuingia kwa utawala wa taleban, taifa la Afghanistani lilikuwa ni miongoni mwa mataifa yenye ustawi mzuri na lisilokuwa na ubaguzi wala mgawanyiko wowote baina ya watu ikiwemo wanawake na wanaume walikuwa wakisafiri pamoja, wanawake halikuwa wanaruhusiwa kutembea vichwa wazi, pia watoto wa kike walikuwa wa kipata elimu sawa kama ilivyo kwa wanaume. 
Hizi ni baadhi ya picha kutoka maktaba mbalimbali duniani zikionyesha taifa hilo kabla ya kuingia kwa Taleban iliyokuwa chini ya Mullar Omar.
 Mtaani
 Kizuizi cha gari lililokiuka sheria
 Usafiri wa umma kwa watu wote
 Mavazi na tamaduni ilikuwa ipo hivi!
 Watoto wa kike walikuwa wakipata elimu sawa na wale wa kiume!
 Hiki ni kituo za kujaza gesi.
 Hili daraja lililojengwa na Warusi







 Darasa kwa shule za vijijini
Shule za mjini
 Mitaa maarufu na moja ya msikiti maarufu jijini Kabul
 Ukarabati wa mitaa ulikuwa ni sehemu ya utamaduni wa watu wa taifa hilo, kimsingi walikuwa wakiishi kijamaa lakini kwa upndo mkubwa miongoni mwao na wageni pia.

 Paredi ya askari wa Afghanistan
Darasa
Shule za awali
  Chuo kikuu cha Kabul
 Sokoni napo hali ilikuwa iko hivi
 Utengenzaji wa keki

 Mapumziko baada ya shughuli za kutwa nzima
 Kumbukukumbu hii ya kubudha ilibomolewa na Taliban

No comments:

Post a Comment