Friday, March 4, 2016

TANGAZO LA KAZI

KAMPUNI ya Wazalendo Bright Media   inatangaza nafasi ya kazi ya afisa masoko kwa  Watanzania wote.

Sifa:
1. Awe ni Mtanzania
2. Umri miaka 20-40
3. Awe na elimu ya masuala ya biashara kwa    kiwango cha Diploma kutoka  chuo               kinachotambulika.
4. Awe na uzoefu wa miaka mitatu kwa kazi anayoomba.
5. Awe na uwezo wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza, anayejua lugha ya     Kifaransa, Kiarabu     itakuwa ni sifa za ziada.
6. Asifanye kazi kwa kusukumwa na awe mbunifu.
7. Awe tayari kufanya kazi popote ndani ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kulingana na atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

Barua zote zitumwe kwa:
Afisa Mtendaji Mkuu,
Wazalendo Bright Media,
Dar es Salaam,
Tanzania.
Barua zitumwe kwa njia ya Email:
mchakarikajitv@gmail.com
nellymtanzania@gmail.com

No comments:

Post a Comment