Saturday, May 16, 2015

Aisee asikwmabia mtu fedha inaongea

Ule msemo wa uzee mwisho chalinze umeendelea kujionyesha dhahiri kufuatia  Gavana wa Jimbo la Edo nchini Nigeria, Adams Oshiomhole kufanikiwa kudunga ndoa na binti mbichi kutoka nchini Cape Verde, aitwayeLara Fortes.
 Shrehe hiyo ilifungwa katika jimbo la Etsako ambao ilihudhuriwa na atu mbalimbali maarufu Duniani akiwemo Rais wa zamani wa Nigeria, Obasanjo, Tajiri namba moja Afrika Aliko Dangote, Rais Mteule wa Nigeria Muhammadu Buhari pamoja na mastaa kibao wa filamu nchini humo.
Mke wa Edoalifariki dunia mwaka 2010 kutokana na matatizo ya saratani hivyo kuamua kuona mke wa mpya.







No comments:

Post a Comment