Monday, June 23, 2014

MIROSLAV CLOSE anatafuta historia ya Kombe la dunia


Klose akishangalia bao.


Alhamisi, michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Brazil itakuwa katika hatua muhimu ambapo itajulikana ni timu zipi zinasonga mbele kuelekea kwenye timu 16 bora na zipi zinatakiwa zikirejea nyumbani. Huku kukiwa na  mtu anaitwa Miroslav Klose mshambuliaji wa Ujerumani ambaye anataka kuvunja rekodi ya kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo baada ya kufikisha idadi ya mabao 15 ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na nguli wa soka kutoka Brazil, Ronaldo De Lima.

No comments:

Post a Comment