Tuesday, August 25, 2015

Islamic States waharibu uridhi wa dunia

Julai mwaka huu, kundi la Islamic Stats lililpo nchini Syria limeharibu historia ya dunia baada ya kuvunja sanamu la Simba wa Al-lat, nje kidogo ya mji wa kihistoria wa Palmyra ambao yapo makumbusho ya Palmyra ambao yapo kwenye ofodha ya uridhi wa dunia. Samamu hilo lilijengwa katika karne ya kwanza baada ya Kristo (1st century BC).







 

No comments:

Post a Comment