Tuesday, August 25, 2015

KIM KADASHIAN ni mjamzito

Mwanadada matata Kim Kadashian ametangaza kuwa ni mja mzito wa miezi sita na hii imekuwa ni taarifa ya kwanza kutolewa katika siku za karibuni ambapo mwanadada huyo ambaye ni mke wa mwanamuziki nyota, Kanye West ambao kwa pamoja wamakuwa wakimya juu ya suala la la ndoa.
Pomoja na uja uzito wake huo mwanamama huyo ameshindwa kusema lolote juu ya kama atajifungulia nchini Marekani au nchini Israel kwani taarifa nyingine zimeeleza kuwa kuna uwezekano akaenda kujifungulia nchini Israel.

No comments:

Post a Comment