Saturday, August 22, 2015

Yanga watetea tena ngao ya jamii

Yanga ya Dar es Salaam imefanikiwa kuitetea tena ngao yake ya jamii kwa mara ya ushindi wa penalti wa mabao 8-7 katika mechi iliyokuwa ngumu na yenye mvuto wa aina yake.
Pamoja na ushindani huo lakini hakuna timi iliyoweza kupata bao ndani ya dakika 90 kwani kila mtu upande ulikuwa ukishamnbulia kwa kutengeneza mazingira bora ya kupata ushindi ila hilo halikufanikiwa.
waliop[ata na kukosa penalti ni kama ifuatavyo:

Waliopata na kukosa penalti mechi ya Ngao ya Jamii Uwanja wa Taifa

Kelvin Yondani-Yanga (anapata)
Ame Ally -Azam (anakosa)
Mbuyu Twite-Yanga (anapata)
Shomari Kapombe-Azam (anapata)
Kamusoko-Yanga (anapata)
Erasto Nyoni-Azam (anapata)
Godfrey Mwashiuya-Yanga (anapata)
Migi-Azam (anapata)
Coutinho-Yanga (anapata)
Morris-Azam (anapata)
Amis Tambwe-Yanga (anapata)
Serge Wawa-Azam (anakosa)
Deus Kaseke-Yanga (kapata)
Himid Mao -Azam (anapata)
Haruna Niyonzima (anapata)
John Bocco-Azam (anapata)
Nadir Horoub Cannavaro-Yanga (kakosa)
Kipre-Azam (kapata)
 

REKODI YA YANGA NA AZM FC LIGI KUU: 

Machi 19, 2014; 
Yanga SC 1-1 Azam FC
Septemba 22, 2013; 
Azam FC 3-2 Yanga SC
Februari 23, 2013;  
Yanga SC 1-0 Azam FC (Ngao ya Jamii) 
Novemba 4, 2012;  
Azam FC 0-2 Yanga SC
Machi 10, 2012; 
Yanga SC 1-3 Azam FC
Septemba 18, 2011;  
Azam 1-0 Yanga SC
Machi 30, 2011;  
Yanga SC 2-1 Azam FC
Oktoba 24, 2010; 
Azam FC 0-0 Yanga SC
Machi  7, 2010;  
Yanga SC 2-1 Azam FC   
Oktoba 17, 2009; 
Azam FC 1-1 Yanga SC
Aprili 8, 2009;  
Yanga SC 2-3 Azam FC
Oktoba 15, 2008;  
Azam FC 1-3 Yanga SC
Septemba 14, 2014
Yanga SC 3-0 Azam FC (Ngao ya Jamii)
Desemba 28, 2014
Yanga SC 2-2 Azam FC
Mei 6, 2015
Azam FC 2-1 Yanga SC
MABINGWA WA NGAO
2001: Yanga SC  2-1 Simba
2009: Mtibwa Sugar  1-0 Yanga SC
2010: Yanga SC  0-0 Simba (3-1penalti)
2011: Simba SC   2-0 Yanga SC
2012: Simba SC  3-2 Azam FC
2013: Yanga SC 1-0 Azam FC
2014: Yanga SC 3-0 Azam FC
2015: Yanga SC 8-7 Azam FC (penalti)
 

No comments:

Post a Comment