Tuesday, December 29, 2015

Hiki ndicho akilichokisema Prof: Jay

Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Joseph Haule amesema kuwa leo ametimiza miaka 40 lakini akiwa na furaha kubwa kwani ndiyo amekabidhiwa rasmi ofisi ya Mbunge jimbo la Mikumi.

Katika taarifa yake yenye mameno machache kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Facebook alisema kwamba:-

Asante sana Mungu leo nimetimiza miaka 40 tangu Nimezaliwa .... I dedicate this birthday kwa watu wangu wote wa MIKUMI na leo ndio tumeifungua rasmi ofisi ya MBUNGE ya MIKUMI baada ya kukabidhiwa Funguo na kuifanyia Usafi kwa pamoja tayari kwa kusikiliza changamoto za wana mikumi, Ushauri na maoni ya jinsi gani tunashirikiana pamoja na wana Mikumi kuweza kuleta mabadiliko na maendeleo ya MIKUMI YETU... EEE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE!!!.


Akifanya usafi ofisini kwake


 Akila kiapo kuwa mbunge wa Jimbo la Mikumi

 

 Akiwa anaingia Bungeni kwa mara ya kwanza


 Akiwa kwenye kikao cha madiwani

Akitekeleza shughuli za maendeleo kwenye usimamizi wa barabara jimbo la Mikumi

No comments:

Post a Comment