Monday, December 28, 2015

Yanga wamfukuza Niyonzima

Uongozi wa Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, umemfukuza rasmi kiungo wake wa kimataifa raia wa Rwanda, Haruna Niyonzima kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu.

Taarifa ya uongozi wa Yanga imesema kwamba wameamua kuchukua maamuzi hayo kutokana na mwenemdo wa nyota huyo katika utendaji wake wa kazi lakini pia kwa sababu alivunja kipengere kwenye mkataba wake na Yanga.

TAARIFA KAMILI HII HAPA:


 

No comments:

Post a Comment