Wednesday, March 30, 2016

Habari njema kwa Wajasiriamali wadogo na wakati

Kutokana na mahitaji ya matangazo kuwa makubwa na baadhi ya watu hasa wenye kipato cha chini kushindwa kuyamudu, dirayaulimwengu imeamua kupunguza bei zake za matangazo madogo madogo hadi kufikia shilingi 35, 000/= kwa tangazo moja kwa wiki (siku saba).
Hivyo wajasiriamali na wale wenye biashara ndogo kama maduka ya nguo, maduka ya vyakula, wakulima, wauza vinywaji, wamiliki wa bar na night club, wamiliki wa shule au vyuo, wakati wao kuwafikia maelfu ya watu kupitia mtandao huu. Kwa wale wenye mahitaji wawasiliane na idara ya matangazo kwa simu namba 0784 890 387. 

No comments:

Post a Comment