Friday, June 27, 2014

Coutinho atua Yanga

Andrey Coutinho

Kiungo mshambuliaji wa Yanga kutoka nchini Brazil, Andrey Coutinho ametua nchini tarai kuanzia kazi. Ujilio wa nyota huyo unakamilisha usajili wa Yanga ambao msimu huu huenda ukawa moja ya klabu tishio kwenye Ligi kuu Tanzania Bara.

No comments:

Post a Comment